HABARI MOTOMOTO SIMBA VIDEO MBALIMBALI ZA SOKA MAHOJIANO BIN ZUBEIRY NA HAMZA MANENO, KIUNGO WA ZAMANI WA SIMBA Monday, July 31, 2023 Monday, July 31, 2023 HABARI MOTOMOTO SIMBA VIDEO MBALIMBALI ZA SOKA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA MSHAMBULIAJI MPYA YANGA AANZIA KUJIFUA GYM KIGAMBONI Monday, July 31, 2023 MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga SC, Hafiz Konkoni akiwa mazoezini kwenye kambi ya timu hiyo, Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam kujiandaa ... Monday, July 31, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS TANZANIA YAWACHAPA ZANZIBAR 1-0 MICHUANO YA CECAFA WASICHANA U18 Sunday, July 30, 2023 BAO pekee la Aisha Mnunka limeipa Tanzania ushindi wa 1-0 dhidi ya Zanzibar katika mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kw... Sunday, July 30, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA PYRAMIDS YAMTAMBULISHA RASMI MAYELE MCHEZAJI WAKE MPYA Sunday, July 30, 2023 KLABU ya Pyramids ya Misri imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Fiston Kalaa Mayele kuwa mche... Sunday, July 30, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC YASHINDA 4-1 MECHI YA KIRAFIKI KAMBINI UTURUKI Sunday, July 30, 2023 TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya timu ya Batman Petrolspor katika mchezo wa kirafiki kwenye kambi yake ya kujiandaa na m... Sunday, July 30, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
AFCON HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TAIFA STARS WAKAGUZI WA CAF WATUA DAR KUITATHMINI TANZANIA UENYEJI AFCON 2027 Saturday, July 29, 2023 TIMU ya Wakaguzi wa Miundombinu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa ajili ya uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 202... Saturday, July 29, 2023 AFCON HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TAIFA STARS
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA YASAJILI MSHAMBULIAJI MPYA KUTOKA GHANA Saturday, July 29, 2023 KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji Hafiz Wontah Konkoni (23) kutoka Bechem United ya kwao, Ghana kuwa mchezaji wake mpya kuelekea ms... Saturday, July 29, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA YASHINDA 10-0 MECHI YA KIRAFIKI KIGAMBONI LEO Saturday, July 29, 2023 MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 10-0 dhidi ya timu ya Magereza katika nchezo wa kirafiki kwenye kambi yake ya k... Saturday, July 29, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA YAMUUZA BANGALA KWA AZAM FC, ASAINI MIAKA MIWILI Saturday, July 29, 2023 KIUNGO wa Kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Yanick Litombo Bangala amejiunga na klabu ya Azam FC kutoka Yanga, zote za Da... Saturday, July 29, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI AZAM FC MABINGWA TENA LIGI YA VIJANA U17 Saturday, July 29, 2023 TIMU ya Azam FC jana imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa mara ya... Saturday, July 29, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI NDONDI PAMBANO LA NGUMI LA KIMATAIFA LIVE TV 3 KESHO Friday, July 28, 2023 MABONDIA pambano la Bongo Fighting Championship (BFC) wakamilisha zoezi la Kupima uzito na Afya zao huku bondia wakike nchini Tanzania afung... Friday, July 28, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI NDONDI
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SINGIDA UNITED SINGIDA BIG STARS NA AS VITA AGOSTI 2 LITI Friday, July 28, 2023 TIMU ya Singida Fountain Gate itacheza mchezo wa kirafiki na As Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Agosti 2, mwaka huu Uwanja wa... Friday, July 28, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SINGIDA UNITED
BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI NAIBU WAZIRI MWANA FA AKUTANA NA MWAKILISHI WA LA LIGA KUZUNGUMZIA SOKA YA VIJANA Friday, July 28, 2023 NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amekutana na kufanya mazungumzo na mwakilishi wa La Liga nchini ... Friday, July 28, 2023 BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI WIZARA YASAINI MKATABA WA KUKARABATI UWANJA WA BENJAMIN MKAPA Friday, July 28, 2023 WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaini Mkataba wa makubaliano ya ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kampuni ya Beijing Constru... Friday, July 28, 2023 BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI EDWARD CHARLES MANYAMA BAADA YA MATIBABU TUNISIA Friday, July 28, 2023 BEKI wa kushoto wa Azam FC, Edward Charles Manyama akiwa amefungwa kinga mkononi baada ya kuumia juzi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya wen... Friday, July 28, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA SC WANAVYOENDELEA KUJIFUA KWENYE KAMBI YAO KIGAMBONI Thursday, July 27, 2023 KIKOSI cha Yanga SC kinaendelea na mazoezi kwenye kambi yake ya Avic Town, Kigamboni nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam kujiandaa na msimu ... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS TANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA MICHUANO YA MABINTI U18 CECAFA Thursday, July 27, 2023 TANZANIA imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ethiopia katika mfululizo wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR JUMA LUIZIO AREJEA KLABU YA MTIBWA SUGAR Thursday, July 27, 2023 KLABU ya Mtibwa Sugar imemrejesha mshambuliaji wake Juma Luizio Ndanda huyo akiwa mchezaji mpya wa tatu kuelekea msimu ujao baada ya Mohamed... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR
COASTAL UNION HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI LUCAS KIKOTI WA NAMUNGO FC AJIUNGA NA COASTAL UNION Thursday, July 27, 2023 KLABU ya Coastal Unión ya Tanga imetangaza kusajili wachezaji wawili wapya, Ally Kombe kutoka Ruvu Shooting na kiungo Lucas Kikoti kutoka Na... Thursday, July 27, 2023 COASTAL UNION HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI KAGERA SUGAR YANGA KLABU YA WEST ARMENIA YASAJILI WACHEZAJI WAWILI WA TANZANIA Thursday, July 27, 2023 KLABU ya West Armenia FC ya is an Armenia imesajili wachezaji wawili wa Tanzania kiungo Erick Edson Mwijage kutoka Kagera Sugar na mshambuli... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI KAGERA SUGAR YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC YACHAPWA 1-0 NA TURAN FK LEO UTURUKI Thursday, July 27, 2023 KLABU ya Simba imepoteza mechi ya Kwanza katika kambi yake ya kujiandaa na msimu mjini Ankara nchini Uturuki baada ya kuchapwa 1-0 na Turan ... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR KELVIN NASHON AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR Thursday, July 27, 2023 KLABU ya Mtibwa Sugar imemsajili kiungo Kelvin Nashon Naftari kutoka Singida Fountain Gate aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kutoka Geita G... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA YAICHAPA 2-0 TIMU YA TURKMENISTAN MECHI YA KIRAFIKI LEO Thursday, July 27, 2023 MABAO ya Kibu Dennis na Nahodha, John Raphael Bocco yameipa Simba SC ushindi wa 2-0 dhidi ya Turan FK ya Turkmenistan katika mchezo wa kiraf... Thursday, July 27, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI AZAM FC YACHAPWA 3-1 NA STADE TUNISIEN MECHI YA KIRAFIKI LEO TUNISIA Wednesday, July 26, 2023 TIMU ya Azam FC imechapwa mabao 3-1 na Stade Tunisian katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Pac Hedi Enneifer mjini Bardo nchini Tunisia. ... Wednesday, July 26, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TFF WIZARA YA MICHEZO YAKUTANA NA MARAIS WA NCHI WANACHAMA CECAFA DAR Wednesday, July 26, 2023 KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Saidi Yakubu amekutana na Marais wa Mashirikisho ya Mpira wa Miguu ya nchi wanachama wa S... Wednesday, July 26, 2023 BMT HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TFF
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA LUIS MIQUISSONE ALIVYOWASILI KAMBINI SIMBA SC UTURUKI Tuesday, July 25, 2023 KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Msumbiji, Luis José Miquissone baada ya kuwasili kwenye kambi ya Simba mjini Ankara nchini Uturuki kujia... Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA SC ‘WANAVYOFUKUZA MWIZI’ KIMYA KIMYA KIGAMBONI Tuesday, July 25, 2023 KIUNGO mpya, Peodoh Pacôme Zouzoua aliyesajiliwa kutoka ASEC Mimosas ya kwao, Ivory Coast akiwa mazoezini viwanja vya Avic Town, Kigamboni k... Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS TANZANIA YAANZA VYEMA MICHUANO YA MABINTI CECAFA U18 CHAMAZI Tuesday, July 25, 2023 WENYEJI, Tanzania wameanza vyema michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati kwa mabinti chini ya umri wa miaka 18 baada ya ush... Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TWIGA STARS
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SI SOKA TU, HATA KWENYE MASUMBWI CHAMA NI ‘MBAYA’ Tuesday, July 25, 2023 KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia akiwa kwenye kambi ya klabu yake, Simba nchini Uturuki ameonyesha kipaji chake kingine zaidi ya s... Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR HABIB KONDO KOCHA MPYA WA MTIBWA SUGAR Tuesday, July 25, 2023 KLABU ya Mtibwa Sugar imemtambulisha Habib Kondo kuwa kocha wake mpya kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI MTIBWA SUGAR
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SINGIDA UNITED YANGA ZANZIBAR YANGA KUANZIA DJIBOUTI, SIMBA NAMIBIA AU ZAMBIA, AZAM... Tuesday, July 25, 2023 DROO ya Raundi za awali za michuano ya klabu imepangwa makao ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Jijini Cairo nchini Misri na mabingwa wa Tan... Tuesday, July 25, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SINGIDA UNITED YANGA ZANZIBAR
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC KUMENYANA NA POWER DYNAMOS KWENYE SIMBA DAY Tuesday, July 25, 2023 KLABU ya Simba itamenyana na Power Dynamos FC ya Zambia katika tamasha la Simba Day Agosti 6 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Tuesday, July 25, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA KIBU DENNIS AFUNGA SIMBA YATOA SARE 1-1 UTURUKI Monday, July 24, 2023 KLABU ya Simba SC imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Zira FK ya Azerbaijan katika mchezo wake wa kwanza wa kujipima kwenye kambi yake ya k... Monday, July 24, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA YANGA SIMBA YA TISA AFRIKA, YANGA YA 18 ORODHA MPYA YA CAF Monday, July 24, 2023 SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya viwango vya ubora wa klabu barani kwa msimu wa 2022-2023, huku Simba SC ikiwa namba tisa n... Monday, July 24, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI NAMUNGO FC CEDRIC KAZE NDIYE KOCHA MPYA MKUU NAMUNGO FC Monday, July 24, 2023 KLABU ya Namungo FC imemtambulisha Mrundi, Cedric Kaze kuwa kocha wake Mkuu kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Kaze anaji... Monday, July 24, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI NAMUNGO FC
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC YAMUUZA SAKHO TIMU YA LIGUE 2 UFARANSA Monday, July 24, 2023 KLABU ya Simba SC imefikia makubaliano na klabu ya Union Sportive Quevillaise-Rouen Métropole ya nchini Ufaransa kumnunua mchezaji wake, M... Monday, July 24, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA KIPA MPYA WA SIMBA MBRAZIL JEFFERSON LUIS AANZA MAZOEZI UTURUKI Sunday, July 23, 2023 KIPA mpya wa Simba, Mbrazil Jefferson Luis Szerban de Oliveira Junior akidaka mpira kwa ustadi kwenye mazoezi ya timu hiyo kufuatia kuripoti... Sunday, July 23, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA ZANZIBAR YANGA SC WAMKABIDHI RAIS MWINYI JEZI IKULU ZANZÍBAR LEO Sunday, July 23, 2023 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Mwinyi akikabidhiwa Jezi na Rais wa Yanga SC, Hersi Ally Said leo Ikulu vi... Sunday, July 23, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA ZANZIBAR
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA KAIZER CHIEFS WAMTEMBELEA RAIS MWINYI IKULU ZANZÍBAR Sunday, July 23, 2023 KIKOSI cha Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambacho kipo nchini kwa mwaliko wa klabu ya Yanga leo kimemtembelea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti... Sunday, July 23, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC YAMTAMBULISHA KIPA MPYA KUTOKA BRAZIL Sunday, July 23, 2023 KLABU ya Simba imemtambulisha mlinda mlango Jefferson Luis Szerban de Oliveira Junior kutoka Resende ya kwao, Brazil kuwa mchezaji wake mpya... Sunday, July 23, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI AZAM FC YAICHAPA MONASTIR 2-1 MECHI YA KIRAFIKI TUNISIA Saturday, July 22, 2023 KLABU ya Azam FC kesho imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, US Monastir katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Mustapha Ben J... Saturday, July 22, 2023 AZAM HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA YANGA YAICHAPA KAIZER CHIEFS 1-0 DAR BAO PEKEE LA MUSONDA Saturday, July 22, 2023 BAO pekee la mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia, Kennedy Musonda dakika ya 45 na ushei limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Kaizer Chie... Saturday, July 22, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA MAYELE, BANGALA NA DJUMA SHABANI KWAHERI YANGA SC Saturday, July 22, 2023 NYOTA watatu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), beki Djuma Shabani, kiungo Yanick Bangala na Fiston Kalala Mayele historia yao i... Saturday, July 22, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA SIMBA SC YAMREJESHA RASMI ‘MTU MBAYA’ LUIS MIQUISSONE Saturday, July 22, 2023 KLABU ya Simba imemrejesha kiungo wake mshambuliaji wa Kimataifa wa Msumbiji, Luis Jose Miquissone ambaye amevunja mkataba na Al Ahly ya Mis... Saturday, July 22, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI SIMBA
HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA MAZOEZI YA KAIZER CHIEFS LEO UWANJA WA MKAPA Friday, July 21, 2023 WACHEZAJI na Maafisa wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika picha ya pamoja na viongozi wa Yanga baada ya mazoezi yao leo jioni Uwanja wa ... Friday, July 21, 2023 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI YANGA