Mshambuliaji mpya wa Chelsea, Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao matatu dakika za pili, 77 na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bet365. Bao lingine la The Blues limefungwa na Pedro dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment