Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia Everton bao la kusawazisha dakika ya 21 kufuatia Adrian Sardinero kuwafungia Apollon Limassol bao la kuongoza dakika ya 12 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Goodison Park. Nikola Vlasic aliifungia bao la pili Everton dakika ya 66, kabla ya Hector Yuste kuwasawazishia Apollon Limassol dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment