Mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Ashley Young baada ya kufunga mabao mawili dakika za nne na 26 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, CSKA Moscow kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa VEB Arena mjini Moscow. Anthony Martial alifunga bao la pili dakika ya 18 kwa penalti baada ya Henrikh Mkhitaryan aliyefunga bao la nne dakika ya 57 kuchezewa rafu kwenye boksi na la nne wakati bao la wenyeji, lilifungwa na Konstantin Kuchaev dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment