Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emiliano Martinez avoids getting sent off DURING penalty shootout for
winding up Lille fans thanks to little-known rule… before Aston Villa
keeper saves decisive spot-kick
-
The Argentina goalkeeper, who made headlines with his antics in the World
Cup final shootout against France, was warned by Slovakian referee Ivan
Kruzliak ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment