Mshambuliaji wa Monaco, Thomas Lemar anayetakiwa na Arsenal akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa, Ufaransa mabao mawili dakika za 73 na 88 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Uholanzi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ufaransa yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 14 na Kylian Mbappe dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment