Leroy Sane akishangili baada ya kuifungia mabao yote mawili Manchester City dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion kwenye wa Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa The Hawthorns. Bao la West Bromwich lilifungwa na Claudio Yacob dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment