Nyota wa Paris Saint Germain, Edinson Cavani na Neymar Junior wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Cavani alifunga dakika ya 31 na Neymar dakika ya 63 baada ya beki Dani Alves kufunga la kwanza dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment