Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Olympiacos katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Allianz mjini Torino usiku wa jana. Bao la pili lilifungwa na Mario Mandzukic dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment