Mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney akivuja damu baada ya kuumia kufuatia kugongana na Simon Francis wa Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park, lakini ajabu refa hakutoa adhabu yoyote kiasi cha kuzomewa na mashabiki. Rooney alibadilishiwa jezi baada ya kutibiwa na kuendelea na mchezo, Everton ikishinda 2-1 mabao yote yakifungwa na mshambuliaji Msenegali, El-Hadji Baye Oumar Niasse dakika za 77 na 82 baada ya Joshua King kuanza kuwafungia wageni dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment