Wissam Ben Yedder akishangilia baada ya kufunga mabao yote matatu peke yake dakika 27, 38 na 83 kwa penalti katika ushindi wa Sevilla wa 3-0 dhidi ya Maribor kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla, Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Standard Liege 2-2 Arsenal: Gunners fight back secures top spot
-
Arsenal fight back from two-goals down to draw 2-2 at Standard Liege and
progress to the last 32 of the Europa League as group winners.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment