• HABARI MPYA

    Thursday, September 21, 2017

    RONALDO AKOSA BAO LA WAZI, REAL YAPIGWA 1-0 BERNABEU

    Cristiano Ronaldo akipiga nje na kukosa bao la wazi akiwa amebaki yeye na kipa wa Real Betis baada ya krosi nzuri ya  Gareth Bale katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Bernabeu, Real Madrid ikifungwa 1-0 bao pekee la Antonio Sanabria dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKOSA BAO LA WAZI, REAL YAPIGWA 1-0 BERNABEU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top