• HABARI MPYA

    Thursday, July 09, 2015

    BEKI SIMBA SC ATAMBULISHWA KLABU YA UJERUMANI, KUANZA KAZI JULAI 15

    Beki chipukizi Mtanzania, Emil Mgeta (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Neckarsulm Sports Union ya Daraja la Nne Ujerumbani jana baada ya kutambulishwa jana. Mgeta aliyekwenda huko akitokea timu ya vijana ya Simba SC, maarufu kama Simba B, anatarajiwa kuichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mchezo wa kirafiki Julai 15.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI SIMBA SC ATAMBULISHWA KLABU YA UJERUMANI, KUANZA KAZI JULAI 15 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top