Beki chipukizi Mtanzania, Emil Mgeta (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Neckarsulm Sports Union ya Daraja la Nne Ujerumbani jana baada ya kutambulishwa jana. Mgeta aliyekwenda huko akitokea timu ya vijana ya Simba SC, maarufu kama Simba B, anatarajiwa kuichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mchezo wa kirafiki Julai 15.
Excruciating moment rapper Ja Rule smashes golf ball straight into crowd at
Derek Jeter's charity tournament
-
Remarkable footage, captured from just meters away, shows Ja Rule teeing
off with people surrounding the tee box in the Bahamas.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment