Winga wa Yanga, Simon Msuva kushoto akimtoka beki wa Tusker katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tusker ilishinda 1-0. |
Kikosi cha Yanga kilichoanza leo |
Shabiki mpya wa Yanga, aliyehamia kutoka Simba SC hivi karibuni akiwa mwenye huzuni baada ya timu yake mpya kulala 1-0 |
Kikosi cha Tusker kilichoipiga Yanga leo |
Manahodha, Nadir Haroub 'Cannavaro' wa Yanga kushoto na Joseph Shikokoti wa Tusker wakiziongoza timu zao kuingia uwanjani |
Hapa ni kabla ya maumivu |
Nizar Khalfan kushoto akimtoka beki wa Tusker |
Cannavaro akipambana |
David Luhende akiwatoka mabeki wa Tusker |
Nurdin Bakari akijaribu kupiga krosi mbele ya beki wa Tusker |
Hamisi Kiiza kushoto |
Beki wa Tusker, akimdhibiti chipukizi wa Yanga, George Banda |
Banda kulia anamtoka beki wa Tusker |
Msuva anamkimbiza mtu |
Said Bahanuzi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tusker |
Kiiza na beki wa Tusker |
Bahanuzi akikokota mpira dhidi ya mabeki wa Tusker |
Banda akipambana |
Mpira wa juu |
Mfungaji wa bao la Tusker, Dunga akishangilia baada ya kufunga |