• HABARI MPYA

    Friday, December 21, 2012

    AZAM FC ILIVYOING'OA TIMU YA KABILA KINSHASA LEO

    Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la pili lililofungwa na Kipre Tchetche katika mchezo wa leo wa Nusu Fainali ya Kombe la Hisani hapa DRC, kwenye Uwanja wa Martyrs mjini Kinshasa. Azam ilishinda kwa penalty 5-4, kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 90 na sasa itamenyana na mshindi kati ya Dragons na FC Mk Jumapili.

    Beki David Mwantika kulia na kipa Mwadini Ally baada ya dakika 90, wakijiandaa kwa penalti

    Kipre Tchetche akishangilia baada ya kufunga bao la pili

    Mwaikimba akigombea mpira na beki wa Shark

    Mwaikimba akiruka hewani dhidi ya beki wa Shark kuwania mpira kwa kichwa

    Kipre Balou akigombea mpira na kiungo wa Shark FC

    Samih Hajji Nuhu akiambaa na mpira wingi ya kushoto

    Kipre Tchetche akijiandaa kupiga mpira kufunga bao la pili

    Kipre Tchetche akiteleza kwenye chaki

    Humphrey Mieno kulia akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Shark

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM FC ILIVYOING'OA TIMU YA KABILA KINSHASA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top