• HABARI MPYA

    Saturday, December 29, 2012

    MSHKAJI ALIYEZIPIGA KAVU KAVU NA DEMU TAIFA AKAMATWA NA POLISI


    ‘Raia mwema’ mmoja jioni hii amedakwa na Polisi na kupelekwa mbele, baada ya kuzipiga na mwanamke Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakati mchezo wa kirafiki kati ya Simba SC na Tusker ukiendelea. Wote walichaniana nguo katika ugomvi huo kabla ya kuamuliwa na raia wenzao, ndipo baadaye askari akaja kumkamata mwanaume kwanza na kabla ya kumuunganisha mwanamke na kuondoka nao mbele. Cheki mchezo kamili ulivyokuwa…
    Zinapigwa, jamaa anaamulia

    Ndindo

    Jamaa alijitahidi sana kuamulia tangu wanaanza tu

    Pambano linaendela

    Refa kazi alikuwa nayo

    Marefa walipoongezeka, ndipo pambano lilisimama

    Cheki kazi hiyo

    Hadi kuchaniana nguo

    Kaazi kweli kweli

    Afande kamdaka mshkaji, anaondoka naye...

    Kamuunganisha na binti waliyekuwa wanagombana naye...mbele kwa mbele hiyo

    Binti bado anampa maneno tu mshkaji mbele ya askari...

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MSHKAJI ALIYEZIPIGA KAVU KAVU NA DEMU TAIFA AKAMATWA NA POLISI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top