• HABARI MPYA

    Friday, December 28, 2012

    TASWA ILIVYOKUFA 'KIUME' LEO BAGAMOYO

    Kiungo wa TASWA FC, Juma Pinto (kushoto) akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Bagamoyo Veterans, huku Shaffih Dauda (kulia) akiwa tayari kumpa msaada katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mwanakalenge, Bagamoyo mkoani Pwani. Bagamoyo Veterans ilishinda 3-0.


    Dhoruba; Julius Kihampa akiwa ameangushwa chini na mchezaji wa Bagamoyo Veterans

    Mohamed Akida kulia akiambaa

    Saleh Ally akimburuza mtu

    Mshambuliaji Majuto Omary kulia akiambaa na mpira

    Waandishi wakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmad Kipozi 

    Benny Kisaka akimuongoza Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmad Kipozi kuingia uwanjani

    Mchezaji wa TASWA, Juma Pinto akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmad Kipozi kulia

    Kocha wa TASWA, Ibrahim Masoud akitoa mawaidha kwa wachezaji wakati wa mapumziko


    Waandishi nguli wa kike nchini wakifuatilia mchezo huo

    Beki Ally Mkongwe akikokota mpira kushoto

    Kiungo Juma Pinto akipambana

    Kipa Ibrahim Bakari pamoja na kufungwa tatu, lakini aliokoa kama 20 za wazi mojawapo hii hapa, shuti la hapa na hapa

    Shaffih Dauda akigombea mpira na mchezaji wa Bagamoyo


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TASWA ILIVYOKUFA 'KIUME' LEO BAGAMOYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top