Mshindi wa jezi ya Manchester united kupitia shindano la Facebook ya Airtel bi.Seba Aggrey akionyesha jezi yake iliyosainiwa na wanachama wa timu hiyo aliyokabidhiwa katika ofisi za makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam baada ya kutangazwa mshindi.
Afisa uhusiano na matukio wa Airtel kushoto Dangio Kaniki akimkabidhi jezi ya Manchester United mshindi wa Facebook ya Airtel bi. Seba Aggrey alipotembelea makao makuu ya Airtel jijini Dar Es Salaam baada ya kuibuka mshindi .
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...