Yanga B imeshindwa kuwatilia
baraka kaka zao, kuelekea mchezo wa jioni, baada ya kuwaruhusu mabingwa wa
Kombe la BancABC Sup8R, Simba B, inayofundishwa na Suleiman Matola, akisaidiwa
na Amri Said kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2. Mabao ya Yanga B
inayofundishwa na kocha wake, Salvatory Edward akisaidiwa na Abubakar Salum yamefungwa
na Kelvin Nkini kipindei cha kwanza na Notikel Masasi kipindi cha pili, wakati
ya Simba yalifungwa na Miraj Athumani na Omar Salum dakika za lala salama.
GB's Fitzpatrick suffers injury before Winter Games
-
GB's most decorated Winter Paralympian Menna Fitzpatrick faces a race
against time to make the 2026 Milan-Cortina Games after a serious knee
injury.
34 minutes ago











.png)
0 comments:
Post a Comment