• HABARI MPYA

    Sunday, June 07, 2015

    MTOTO WA MESSI HUULIZI, LAKINI NEYMAR..

    Messi and his son Thiago grip the famous trophy's big 'ears' for a dressing room photo together on Saturday
    Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya na mwanawe, Thiago katika chumba cha kubadilishia ngup jana Uwanja wa Olimpiki mjini Berlin, Ujerumani baada ya kuwafunga Juventus mabao 3-1 na kutwaa taji hilo
    Neymar bites into his Champions League winners medal in a celebratory selfie with his son
    Neymar aking'ata Medali yake aliyozawadiwa baada ya ushindi wa jana akiwa na mwanawe, David Lucca da Silva Santos PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTOTO WA MESSI HUULIZI, LAKINI NEYMAR.. Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top