• HABARI MPYA

    Tuesday, June 23, 2015

    HAYA NDIYO MAISHA YA MRISHO NGASSA AFRIKA KUSINI

    Mshambuliaji mpya wa Free State Stars ya Afrika Kusini, Mrisho Khalfan Ngassa akiwa mbele ya gari la kutumia alilopewa na klabu yake hiyo baada ya kuwasili mjini Bethlehem leo yalipo makao makuu ya klabu hiyo ya Ligi Kuu ya nchini humo
    Mke wa Ngassa, Radhia Mngazija akiwa jikoni kwenye nyumba yao baada ya kuingia leo
    Radhia 'Nish' akiwa mlango wa nyuma wa nyumba yao mjini Bethlehem
    Mrisho akiwa kwenye sebule ya nyumba yake mjini Bethlehem
    Mrisho Ngassa akiwa mlango wa nyuma wa nyumba yao
    Nyumba ipo barabarani kabisa
    Nish akiwa kwenye geti la mbele la nyumba yao mjini Bethlehem

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAYA NDIYO MAISHA YA MRISHO NGASSA AFRIKA KUSINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top