Beki wa Chile, Gonzalo Jara akimtia 'dole' nyuma mshambuliaji wa Uruguay, Edinson Cavani katika mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America jana Uwanja wa Nacional Julio Martinez Pradanos mjini Santiago. Chile ilishinda bao 1-0 na Cavani alimzaba kibao Jara baada ya tukio hilo akatolewa kwa kadi nyekundu.
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment