• HABARI MPYA

    Saturday, June 27, 2015

    JONAS MKUDE KATIKA 'UZI' WA BIDVEST WITS TAYARI KUJARIBU BAHATI

    Kiungo wa Simba SC, Jonas Mkude akiwa amevalia jezi ya Bidvest Wits ya Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini tayari kuanza mazoezi ya majaribio katika klabu hiyo. Mkude aliwasili Johannesburg juzi na jana alitarajiwa kuanza majaribio.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JONAS MKUDE KATIKA 'UZI' WA BIDVEST WITS TAYARI KUJARIBU BAHATI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top