• HABARI MPYA

    Friday, June 26, 2015

    MAKOCHA WAPYA SIMBA SC WAWASILI PAMOJA MKENYA NA MUINGEREZA

    Kocha Mkuu mpya wa Simba SC, Muingereza Dylan Kerr (kushoto) akiwa na kocha mpya wa makipa wa timu hiyo, Abdul Iddi Salim (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni ya leo tayari kuanza kazi Msimbazi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKOCHA WAPYA SIMBA SC WAWASILI PAMOJA MKENYA NA MUINGEREZA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top