• HABARI MPYA

    Sunday, June 07, 2015

    MIGUEL COTTO AMTWANGA 'KO' RAUNDI YA NNE GEALE

    The Puerto Rican sent Geale to the canvas in the opening seconds of the fourth round and the contest was over shortly afterwards
    Bondia Miguel Cotto wa Puerto Rico akiondoka baada ya kumdondosha mpinzani wake, Daniel Geale wa Australia raundi ya nne katika pambano la uzito wa Middle ubingwa wa dunia wa WBC ukumbi wa Barclays Center mjini New York Geale, Marekani. Cotto alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya nne  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MIGUEL COTTO AMTWANGA 'KO' RAUNDI YA NNE GEALE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top