![]() |
| Michael Jackson enzi zake |
Kwa mwaka wa pili mfululizo, Jackson anaongoza chati ya watu maarufu marehemu wanaoingiza fedha kibao (Top-Earning Dead Celebrities).
Kwa miezi 12 iliyopita, Jackson ameingiza kiasi cha dola za
Kimarekani Milioni 170 kutokana na mauzo ya muziki wake na hisa zake katika za Sony/ATV
Catalog. Lakini Jacko ameporomoka ile mbaya, kutoka kiasi cha dola za
Kimarekani Milioni 275 alizoingiza miezi 12 iliyotangulia, lakini bado inamuweka
juu katika orodha ya marehemu maarufu wanaopiga pesa ndefu, akishika nafasi ya
pili pia kwa ujumla kwa wafu na walio hai kwa kuingiza mkwanja mrefu, baada ya
U2.W atu 15 katika orodha hii, wamevuna jumla ya dola Milioni 366
kati ya Oktoba 2010 na Oktoba 2011, ambayo inadhihirisha kifo si mwisho
linapokuja suala la umaarufu.




.png)
0 comments:
Post a Comment