Bondia Floyd Mayweather akizuiwa asiendelee kumshambulia mpinzani wake, Tenshin Nasukawa usiku wa kuamkia leo kwenye pambano la maoyesho mjini Tokyo, Japan. Mayweather alimuangusha mara tatu Nasukawa, ambaye ni mcheza kick boxing ndani ya dakika mbili za raundi ya kwanza na kushinda kwa Knockout (KO) hivyo kuingiza kiasi cha dola za Kimarekani Milioni 9 kwa pambano ambalo ilitakiwa liwe la raundi tatu. Floyd Mayweather, mwenye umri wa miaka 41 alistaafu ngumi baada ya kumpiga Conor McGregor mwaka 2017 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment