Leroy Sane (kushoto) na Raheem Sterling (kulia) wakimpongeza Danilo baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith. Raheem Sterling alifunga bao la pili dakika ya 54 na Leroy Sane la tatu dakika ya 56 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Liverpool yenye pointi 60 sasa baada ya kucheza mechi 23 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment