Mshambuliaji Muargentina, Gonzalo Higuain akiwa ameshika jezi namba 9 ya Chelsea jana mjini London baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo kutoka AC Milan hadi mwsihoni mwa msimu, dili ambalo linaweza kuifanya The Blues imtoe kwa mkopo, mshambuliaji wa Hispania, Alvaro Morata kwenda Atletico Madrid ya kwao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment