Mkurugenzi wa Michezo, Dk.Yussuf Singo akimkabidhi kiungo Mzambia Simba SC, Clatous Chama mfano wa hudi ya dola 500, zaidi ya Sh. Milioni 1.2 za Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa Mechi dhidi ya AFC Leopards michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-1 na kufanikiwa kutinga Nusu Fainali na sasa itamenyana na Bandari ya Kenya pia
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment