Beki Mbrazil, David Luiz akishangilia baada ya kufunga penalti ya nne ya Chelsea kuipeleka Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali. Chelsea ilishinda 2-1 na kufanya sare ya jumla ya 2-2 kufuatia kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza na mbali ya Luiz wengine waliofunga penalti za The Blues ni Willian, Azpilicueta na Jorginho, wakati Christian Eriksen na Erik Lamela pekee walifunga za Spurs, huku Eric Dier na Lucas Moura wakikosa. Chelsea itakutana na Manchester City katika fainali Februari 24 Uwanja wa Wembley mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment