Beki Mbrazil, David Luiz akishangilia baada ya kufunga penalti ya nne ya Chelsea kuipeleka Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali. Chelsea ilishinda 2-1 na kufanya sare ya jumla ya 2-2 kufuatia kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza na mbali ya Luiz wengine waliofunga penalti za The Blues ni Willian, Azpilicueta na Jorginho, wakati Christian Eriksen na Erik Lamela pekee walifunga za Spurs, huku Eric Dier na Lucas Moura wakikosa. Chelsea itakutana na Manchester City katika fainali Februari 24 Uwanja wa Wembley mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment