Wissam Ben Yedder akishangilia bao la pili aliloifungia Sevilla kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona kwenye Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania jana kwa kufunua jezi yake kuonyesha maandishi ya kusikitikia kupotea kwa rafiki yake, mwanasoka mwenzake Emiliano Sala. Bao la kwanza la Sevilla lilifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 58 Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla na Sala alipotea mwanzoni mwa wiki kufuatia kuanguka kwa ndege binafsi aliyopanda kwa safari ya Uingereza kwenda kujiunga na klabu yake mpya, Cardiff City kutoka Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment