Wachezaji wa Yanga SC kabla ya mechi ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati dhidi ya wenyeji, Express FC ‘Read Eagles’ mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala, Uganda. Yanga ilishinda 3-1. Kutoka kulia ni Kenneth Mkapa, Steven Nemes, David Mwakalebela, Zamoyoni Mogella, Edibily Lunyamila, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Steven Mussa (marehemu), Method Mogella (marehemu), Mtwa Kihwelo, Issa Athumani (marehemu), Suleiman Mkati, Willy Mtendamema, Willy Martin, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu), Riffat Said (marehemu), Dk. Shecky Mngazija na kocha Nzoyisaba Tauzany (marehemu). Yanga SC iliibuka bingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga na SC Villa 2-1 kwenye fainali
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment