• HABARI MPYA

    Saturday, May 25, 2013

    WACHEZAJI TAIFA STARS WAPIGILIA 'SUTI ZA KUFA MTU' NA KUFANYA BONGE LA SHOO LA MAVAZI JUKWAANI USIKU HUU

    IMEWEKWA MEI 25, 2013 SAA 4:30 USIKU
    Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa vazi maalum la suti katika hoteli ya Hyatt, zamani Kilimanjaro Kempinski usuku huu ambazo watavaa katika safari ya Morocco watakapokwenda kumenyana na wenyeji, Simba wa Atlasi kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil.

    Simon Msuva kulia na Mrisho Ngassa kushoto wakipita jukwaani kwa madaha na vazi hilo katika hafla maalum ya kutambulisha vazi hilo, iliyoandaliwa na wadhamini wa timu hiyo, Kilimanjaro Premium Lager, bia inayozalishwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL)

    Hawa walivaa suti za kimichezo

    Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa TBL, Focus Lasway kulia akimkabidhi suti hizo, Katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah. Wengine pichani ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe kulia na Rais wa TFF, Leodegar Tenga kushoto.   

    Mkurugenzi wa Executive Solutions Limited, Aggrey Marealle kushoto, Waratibu wa udhamini wa Taifa Stars TBL

    Kutoka kulia Katibu wa TFF, Angetile Osiah, Mtangazaji wa EATV, Patrick Nyembela na Mkurugenzi wa Masoko wa TFF, Jimmy Kabwe

    Kavishe akizungumza na Mjumbe wa Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde, Teddy Mapunda 

    Baadhi wa Waandishi wa Habari waliohudhuria hafla hiyo

    Kocha wa makipa wa Taifa Stars, Juma Pondamali akipita jukwaani kwa madaha kuonyesha vazi la suti ya kimichezo

    Msanii Barnaba akiimba wimbo wa taifa katika uzinduzi wa vazi hilo

    Wachezaji katika picha ya pamoja na vimwana

    Kicheko; Kevin Yondan kulia na Shomary Kapombe kushoto wakifuarahia jambo

    Kutoka kulia Shomary Kapombe, Juma Kaseja na Zahor Pazi

    Kutoka kulia Juma Kaseja, Angetile Osiah, Salim Mohamed wa Friends Of Simba na Zahor Pazi  

    Mwaa!; Kimwana akimpiga busu Mrisho Ngassa

    Handsome; Kevin Yondan

    Nadir Cannavaro na kimwana

    Amri Kiemba kulia na Aggrey Morris

    Kutoka kulia Athumani Iddi 'Chuji', kocha Kim Poulsen na Mwinyi Kazimoto 

    Meneja Leopold Mukebezi kulia na kocha Kim Poulsen kushoto 

    Kutoka kulia Mwinyi Kazimoto, Athumani Iddi na Salum Abubakar 'Sure Boy'

    Kutoka kulia Frank Domayo, John Bocco, Erasto Nyoni na Khamis Mcha

    John Bocco kulia na Erasto Nyoni kushoto

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: WACHEZAJI TAIFA STARS WAPIGILIA 'SUTI ZA KUFA MTU' NA KUFANYA BONGE LA SHOO LA MAVAZI JUKWAANI USIKU HUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top