• HABARI MPYA

    Tuesday, May 21, 2013

    ROONEY APATA TOTO LA PILI LA KIUME, ALIPA JINA LA ZAMANI LA MFALME WA NDONDI DUNIANI MUHAMMAD ALI


    IMEWEKWA MEI 21, 2013 SAA 1:15 USIKU
    MSHAMBULIAJI Wayne Rooney amekuwa mwenye furaha baada ya leo asubuhi kupata mtoto wa pili, aliyempa jina Klay.
    Mkewe, Coleen alikimbizwa Maabara usiku wa Jumamosi, maana yake Rooney ilimbidi akose mechi ya mwisho ya klabu yake, Manchester United katika Ligi Kuu England dhidi ya West Bromwich Albion.
    Rooney ametangaza kwenye ukurasa wake wa Twitter, akiwaambia zaidi ya wafuasi wake Milioni sita kwamba: "Mtoto wetu mzuri wa kiume, Klay Anthony Rooney amezaliwa saa 8.11 (usiku), akiwa na uzito wa Pauni 7I 11.1/2. Wote, Klay na Coleen wapo katika hali nzuri..... Sote tumefurahia!!'
    Happy family: Rooney tweeted this picture of himself, Coleen, Kai and Klay
    Familia ya Furaha: Rooney ametweet hii picha akiwa na Coleen, Kai na Klay
    Roo beauty: Wayne Rooney arrives with son Kai on Tuesday to see his newborn child
    Wayne Rooney akiwasili na na mwanawe wa kwanza wa kiume Kai leo kumuona mtoto wake mpya aliyezaliwa
    Roo beauty: Wayne Rooney arrives with son Kai on Tuesday to see his newborn child
    All smiles: Coleen posted this picture on Twitter with the words: 'Thanks everyone for the lovely messages'
    Coleen ameposti hii picha kwenye ukurasa wake wa Twitter na maneno: "Asante kwa kila mmoja kwa ujumbe wa upendo"
    Hands on: Wayne and Coleen Rooney leave the hospital after the birth of their second son
    Hands on: Wayne and Coleen Rooney leave the hospital after the birth of their second son
    Wayne na Coleen Rooney wakitoka hospitali baada ya kupata mtoto wa pili wa kiume
    It's a boy: Coleen's mum and Kai head into the hospital
    Mama yake Coleen na Kai wakienda hospitali
    We are family: Wayne and Coleen Rooney, who already have three-year-old Kai, announced the arrival of their second son Klay in the early hours on Tuesday morning
    Wayne na Coleen Rooney, ambao tayari wana mtoto wa kiume wa miaka mitatu, Kai, wametangaza kuzaliwa kwa mtoto wao wa pili, Klay leo asubuhi
    Making it a double: Wayne announced the good news on his Twitter page in the early hours of Tuesday morning
    Alichoandika Wayne katika Twitter yake
    Happy days: After going into labour late on Saturday night, Coleen was delighted to announce the arrival of her second son
    Alichoandika  Coleen

    MAANA YA KLAY

    'Ambaye ni milele. ni jina la kiume, linawafaa watoto wa kiume.' 
    Klay maana yake ni 'Ni ambaye ni milele' na kwa kuwa Rooney ni shabiki mkubwa wa ndondi, jina hilo inaweza kuwa limemvutia kutokana na mfalme wa ulingoni, Cassius Clay (sasa, Muhammad Ali).
    Aliweka ujumbe wake saa 9.49 alfajiri, na kupokea pongezi nyingi kutoka kwa mashabiki wake wakiwemo watu mashuhuri kama Ed Sheeran na nyota wa Apprentice, Lord Sugar, ambaye alikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kutuma salamu zao za pongezi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ROONEY APATA TOTO LA PILI LA KIUME, ALIPA JINA LA ZAMANI LA MFALME WA NDONDI DUNIANI MUHAMMAD ALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top