• HABARI MPYA

    Tuesday, May 28, 2013

    KING KIBADENI AANZA KAZI SIMBA SC ASUBUHI YA LEO KINESI, KIJANA ASALI KUOMBA CHIFU MPUTA AMUONE

    IMEWEKWA MEI 28, 2013 SAA 4:00 ASUBUHI
    Kocha mpya wa Simba SC, Alhaj Abdallah Athumani Seif 'King Kibaden' au Chifu Mputa kulia akiwa na Wasaidizi wake, Jamhuri Mussa Kihwelo 'Julio' (katikati) na Suleiman Abdallah Matola 'Veron' kushoto kwenye Uwanja wa Kinesi, Urafiki, Dar es Salaam asubuhi ya leo wakati kabla ya kuanza usaili wa wachezaji waliojitokeza kuomba kusajiliwa katika timu hiyo. Kibaden ameanza rasmi kazi leo na atasaini mkataba kesho.

    Wazee wa Kijiwe; Jamhuri kulia na Matola kushoto wakiwa nje ya Uwanja wakiangalia vijana waliojitokeza kuomba kusajiliwa Simba SC wakati wanacheza kuonyesha vipaji vyao

    Mchezaji wa kiungo aliyewahi kuchezea timu ya taifa ya vijana chini ya Jamhuhi  Kihwelo, Samuel Ngassa naye amejitokeza kuomba nafasi Simba SC

    Matola akimpa taarifa muhimu Kibadeni, anayeandika

    Kibadeni kulia na Matola aliyeipa mgongo kamera ya BIN ZUBEIRY 

    Tabasamu mwanana; Kibadeni akifurahia kazi mpya Simba SC

    Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala kulia na Meneja wa timu za vijana za Simba SC, Patrick Rweyemamu kushoto

    Mungu nisaidie Kibadeni anione; Mmoja wa vijana waliojitokeza kujaribu bahati zao Simba SC, Adeyoum Saleh Ahmed kutoka Miembeni ya Zanzibar akisali kabla ya kuanza kwa usaili

    Sala inaendelea

    Anamalizia sala

    Anafunga sala

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KING KIBADENI AANZA KAZI SIMBA SC ASUBUHI YA LEO KINESI, KIJANA ASALI KUOMBA CHIFU MPUTA AMUONE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top