• HABARI MPYA

    Sunday, May 26, 2013

    KIPA HUYU WA YANGA SC SASA NI 'OFISA' WA IKULU

    IMEWEKWA MEI 26, 2013, SAA 2:00 USIKU
    Unamkumbuka?Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Juma Kaseja kulia ambaye ni kipa namba moja wa timu hiyo na klabu ya Simba SC, akiwa na kipa wa zamani wa Yanga SC (2000-2003), Matokeo Lucas katika viwanja vya Ikulu, mjini Dar es Salaam Alhamisi wiki hii, wakati wachezaji wa Taifa Stars walipozuru Ikulu kwa mwaliko wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Matokeo kwa sasa ni mtumishi wa Ikulu, katika kitengo cha Udereva.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KIPA HUYU WA YANGA SC SASA NI 'OFISA' WA IKULU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top