![]() |
| Rais Kikwete akisalimiana na Amri Kiemba |
![]() |
| Akisalimiana na Simon Msuva, huku Shomary Kapombe akijiandaa naye |
![]() |
| Akisalimiana na Ally Mustafa 'Barthez' |
![]() |
| Akisalimiana na Kocha Kim Poulsen |
![]() |
| Hapa akiwahutubia wachezaji hao baada ya chakula |
![]() |
| Katika picha ya pamoja na wachezaji wa Stars |
![]() |
| Picha ya pamoja na viongozi na wachezaji |
![]() |
| Kaseja akichukua ushauri kwa Meneja wa Taifa Stars, Leopold Mukebezi kabla ya kwenda kutoa hotuba yake fupi kwa niaba ya wachezaji wenzake |
![]() |
| Rais akisalimiana na Tedi mapunda |
![]() |
| Kutoka kulia kocha wa makipa, Juma Pondamali, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Saidia Stars Ishinde, Dk Ramadhani Dau, Nadir Cannavaro, Erasto Nyoni na Mrisho Ngassa |
![]() |
| Kaseja akiwa na Tedi Mapunda |
![]() |
| Kutoka kulia Kaseja, Ibrahim Masoud na Cannavaro |
![]() |
| Kocha Kim Poulsen akiondoka baada ya kusalimiana na Rais Kikwete, anayemfuatia ni Cannavaro |
![]() |
| Khamis Mcha 'Vialli' akiondoka kwa furaha baada ya kusalimiana na Rais Kikwete |
![]() |
| Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi akisikiliza hotuba ya rais Kikwete, kulia kwake ni kocha Poulsen na Waziri wa Habari Utamaduni na Michezi, Dk Fenella Mukangara |
![]() |
| Frank Domayo kulia na Simon Msuva kushoto |
![]() |
| Mrisho Ngassa kulia na Aggrey Morris kushoto |
![]() |
| Mwinyi Kazimoto kulia na Haruna Chanongo kushoto |
![]() |
| Shomary Kapombe kulia na Nadir Cannavaro kushoto |
![]() |
| Meneja wa bia ya Kilimanjaro, wadhamini wa Taifa Stars, George Kavishe akiwa na Athumani Iddi 'Chuji' kulia na Shomary Kapombe kushoto |























.png)