• HABARI MPYA

    Sunday, May 26, 2013

    MAN CITY YAIFUMUA TENA CHELSEA MAREKANI, SAFARI HII YAIPIGA 'MKONO'


    IMEWEKWA MEI 26, 2013 SAA 2:00 ASUBUHI
    KLABU ya Manchester City imeitandika mabao 5-3 Chelsea katika mchezo wao wa pili na wa mwisho kwenye ziara yao ya Marekani jana kwenye Uwanja wa St Louis baada ya Alhamisi pia kushinda 4-3 kwenye Uwanaj huo huo dhidi ya The Blues. 
    Mabao ya City yalifungwa Barry dakika ya tatu, Nasri dakika ya 29 na 73, Milner dakika ya 54 na Dzeko dakika ya 84, wakati wa Chelsea yalifungwa na Ramires dakika ya 48 na 68 na Mata dakika ya 82. 
    Kikosi cha Man City kilikuwa: Hart/Wright dk45,, Zabaleta/Maicon dk45, Kompany/Lescott dk45, Boyata/Garcia dk55, Kolarov, Yaya Toure/Rodwell dk45, Barry, Nasri, Tevez/Razak dk45, Silva/Milner dk45 na Aguero/Dzeko dk45.
    Chelsea: Hilario/Cech dk45, Azpilicueta, Christensen, Luiz/Mata dk61, Ake, Mikel, Loftus-Cheek/Ferreira dk42, Ramires, Oscar/Benayoun dk65, Ba na Torres.
    Rampage: Man City won their second high-scoring game against Chelsea in a couple of days
    Wachezaji wa Man City wameshinda tena dhidi ya Chelsea jana
    Drafted: Samir Nasri, who was the star of the show, lifts the ball over Petr Cech
    Samir Nasri akimfunga Petr Cech
    Dead on: Juan Mata's precise free-kick which curled into the top corner wowed the crowd
    Juan Mata akifunga kwa mpira wa adhabu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY YAIFUMUA TENA CHELSEA MAREKANI, SAFARI HII YAIPIGA 'MKONO' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top