• HABARI MPYA

    Saturday, May 25, 2013

    BONGE LA MECHI WEMBLEY USIKU WA LEO, NI BAYERN AU DORTMUND BINGWA ULAYA LEO?


    IMEWEKWA MEI 25, 2013 SAA 1:00 ASUBUHI
    UWANJA wa Wembley leo utahimili vishindo vya Bayern Munich na Borussia Dortmund zote za Ujerumani katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Baada ya kuwasili London mapema jana, timu zote hizo zilipata fursa ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa timu ya taifa ya England, ambao utahimili vishindo vya fainali ya Ulaya kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu.
    Dortmund imerejea katika fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1997 walipoifunga Juventus ya Italia mabao 3-1 kwa msaada wa kocha wa Aston Villa, Paul Lambert, wakati Bayern inatumai kutwaa taji la tano la michuano hiyo baada ya kufungwa na Chelsea kwenye fainali mwaka jana.
    Visitor: Dortmund coach Jurgen Klopp (left) at Wembley with Aston Villa manager Paul Lambert, who won the Champions League with the German club in 1997
    Ugeni: Kocha wa Dortmund, Jurgen Klopp (kushoto) akiwa Wembley na kocha wa Aston Villa, Paul Lambert, ambaye aliiwezesha klabu hiyo ya Ujerumani kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa mwaka 1997
    Deep discussion: Bastian Schweinsteiger, Arjen Robben and Franck Ribery at Wembley
    Mjadala mzito: Bastian Schweinsteiger, Arjen Robben na Franck Ribery wakiwa Wembley
    Tunnel walk: Bayern Munich players walk out onto the Wembley pitch for a training session
    Wachezaji wa Bayern Munich wakiingia Wembley kufanya mazoezi jana
    Footballing star: Robben is one of the big names at Wembley this weekend
    Footballing star: Ribery is one of the big names at Wembley this weekend
    Nyota: Robben (kushoto) na Ribery kati ya majina makubwa Wembley jioni ya leo
    Running repair: Prolific Dortmund striker Robert Lewandowski gets his boot fixed
    Anarekebishwa: Mshambuliaji tegemeo wa Dortmund, Robert Lewandowski akirekebishiwa viatu vyake
    Das boot: A close-up of Lewandowski's boot for the final
    Kiatu cha mabao: Kiatu cha Lewandowski fainali
    Grappling: Kevin Groskreutz, Robert Lewandowski and Marco Reus warm up for training
    Utatu mtakatifu: Kevin Groskreutz, Robert Lewandowski na Marco Reus wakiwa mazoezini Wembley jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BONGE LA MECHI WEMBLEY USIKU WA LEO, NI BAYERN AU DORTMUND BINGWA ULAYA LEO? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top