• HABARI MPYA

    Saturday, February 23, 2013

    VODACOM YAWALETEA BONGE LA ZALI MASHABIKI WA SOKA KUPITIA M-BET

    Mkuu wa Chapa ya Vodacom, Kevin Twissa akijadiliana jambo na Meneja na Meneja Mawasiliano ya Nje wa Vodacom, Salum Mwalimu jana usiku wakati hafla ya uzinduzi wa mchezo wa M-Bet unaowawezesha mashabiki wa soka nchini kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali ya soka na kujishindia. Fedha, iliyofanyika kwenye ukumbi wa City Sports Lounge, Dar es Salaam.    

    Kevin Twissa akifafanua jambo kuhusu M -Bet

    Kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Michezo ya Kubahatisha, Tarimba Abbas akizungumzia mchezo wa M-Bet na kushoto ni Twissa akimskiliza kwa makini

    Meneja Miradi wa m-Bet, Richard Mushi akifafanua jambo jana

    Waalikwa wakifuatilia

    Waalikwa wakiburudika na kufuatilia maelekezo ya M-Bet 

    Kevin Twissa akizungumza kwa msistizo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: VODACOM YAWALETEA BONGE LA ZALI MASHABIKI WA SOKA KUPITIA M-BET Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top