• HABARI MPYA

    Thursday, February 28, 2013

    RUFAA YA SCHALKE KWA DROGBA YADUNDA


    UEFA imeitupilia mbali rufaa ya Schalke dhidi ya Didier Drogba kuichezea timu yake mpya, Galatasaray katika mechi ya sare ya 1-1 ya Ligi ya Mabingwa, baina ya timu hizo mapema mwezi huu. 
    Timu hiyo ya Ujerumani iliamini timu hiyo ya Uturuki inaweza kupoteza mchezo huo, kwa madai Drogba alisaini kwao siku 12 baada ya dirisha la usajili kufungwa.
    Klabu hiyo ya Ujerumani, ilidai Galatasary haikutangaza ujio wa Drogba katika tovuti yao hadi Februari 12, ingawa sheria za UEFA zinasema mwisho wa usajili Februari 1 kwa ajili ya hatua ya mtoano.
    Controversial appearance: Didier Drogba controls the ball during the 1-1 draw between Galatasaray and Schalke in Istanbul last night
    Didier Drogba akimiliki mpira katika sare ya 1-1 kati ya Galatasaray na Schalke miini Istanbul.
    New arrival: Drogba touches down at Ataturk Airport in Istanbul to sign for Galatasaray earlier this month
    Drogba akikanyaga ardhi ya Uwanja wa Ndege wa Ataturk Jijini Istanbul kusaini Galatasaray mapema mwezi huu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: RUFAA YA SCHALKE KWA DROGBA YADUNDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top