• HABARI MPYA

    Thursday, February 28, 2013

    ENGLAND WATAKAVYOISHI KIFALME BRAZIL


    KIKOSI cha timu ya taifa ya England kimepanga kula maisha Rio de Janeiro wakati wa michuano ya Kombe la Dunia 2014, kwa kuweka kambi yake kwenye hoteli ya The Windsor Atlantica, inayojulika iliyopo kwenye fukwe za Copacabana.
    Vijana wa Roy Hodgson wataishi kwenye hoteli hiyo ya nyota tano, ambayo iko pembezoni mwa bahari, wakati wa mechi yao ya kirafiki dhidi ya Brazil kwenye uwanja wa Maracana, Juni 2, mwaka huu.

    Room with a view: England's hotel will overlook Rio's world famous Copacabana beach
    Beach: Hoteli ya England (Jengo refu zaid) ikiangalia fukwe za Copacabana

    Don't fall in love: The Windsor Atlantica will be England's home in early June as Roy Hodgson's men travel to South America to face Brazil
    The Windsor Atlantica yatakuwa makazi ya England, mwanzoni wa Juni.
    Rooms with a view: The Windsor Atlantica
    Restaurant: Windsor Atlantica

    Ndani ya hoteli hiyo ambayo England watafikia
    Glitzy: The hotel lobby in all its splendour
    Wamedhamiria kutumia hoteli hiyohiyo wakati wa michuano ya Kombe la Dunia, mwaka mmoja baadaye, iwapo kikosi hicho kitafuzu kushiriki fainali za Kombe la Dunia mwaka 2012.
    Jengo la hoteli hiyo ya nyota tano ndilo refu zaidi kwenye eneo lilipo, huku likiangalia fukwe za Copacabana ikiwa wachezaji watimu hiyo watafuzu kushiriki Kombe la Dunia.

    Moja ya maeneo ya kuvuti Kaskazini mwa Havana: England watakula bata kwenye moja ya maeneo mazuri zaidi ya Rio.

    Bathed in sunlight: England will enjoy one of the finest locations Rio has to offer
    Ufukwe
    Fit for a king: The hotel has two Presidential Suites
    Anastahili kulala mfalme: Hoteli hiyo ina vyumba 545, ikiwa ni pamoja na vyumba viwli vyenye hadhi ya Urais na Ufalme
    Plush surrounds: An Imperial Suite
    Marble: A bathroom
    Hoteli hiyo ina vyumba 54, huku England wakitarajiwa kuishi kwenye ghorofa ya pili nay a tatu ya hoteli hiyo, wakiwa hapo watakuwa na sehemu yao maalumu ya kula, matibabu na kujiachia.
    Lakini watakutana na wananchi wengi pale watakapokatiza kwenye eneo la mapokezi la hoteli hiyo.
    Haitafanana na makao makuu yao ya Kombe la Dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini ambaklo walikaa kwenye hoteli ya Royal Bafokeng Sports Campus iliyopo Rustenburg, hoteli ambayo iliwakera baadhi ya wachezaji.
    Hoteli hiyo inasehemu ya spa na bafu linye shower saba kwa ajili ya kupunguza uchovu.
    Facilities: The hotel boasts a relaxing spa

    Spa
    Hard graft: Should England wish to pump iron, there is a fully-equipped gymnasium
    Sehemu ya Gym

    Kwenye michuano ya Euro mwaka jana nchini Poland, England waliweka makazi yao katikati ya mji wa Krakow.
    Lakini hoteli ya Stary ilichaguliwa mahususi kwenye michuano hiyo kwa sababu za kiusalama kwa sababu kulikuwa na walinzi waliohakikisha wachezaji wanapata muda binafsi.
    Wakati wakiwa hawana kazi jijini Rio, England watakuwa wakipumzika kwenye fukwe kubwa zaidi duniani za Copacabana.

    Bathed in sunlight: England will enjoy one of the finest locations Rio has to offer
    Wachezaji wa England watakuwa wakila bata kwenye Bahari ya Atlantic au kwenye swimming pool ya hoteli 
    And a pool to boot

    Windsor Atlantica pia wanatoa mataulo ya ufukweni, viti na miamvuli.
    Na kwa jambo lolote ambalo England watakuwa wanataka kukabiliana nalo juu ya masuala ya Kombe la Dunia, Uongozi wa FIFA utakuwa jirani yao kwenye hoteli ya Copacabana Palace.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ENGLAND WATAKAVYOISHI KIFALME BRAZIL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top