• HABARI MPYA

    Sunday, February 24, 2013

    SIMBA NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA TAIFA LEO, MNYAMA ALISHIKWA PABAYA

    Mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu akipiga krosi pembeni yake beki wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Issa rashid katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mtibwa ilishinda 1-0.  

    Haruna Chanongo akimtoka Issa Rashid

    Kocha wa Mtibwa Mecky Mexime (kulia) akitoa maelekezo kwa wachezaji wake


    Chanongo akiwatoka Issa Rashid na Vincent Barnabas

    Kulia ni Chanongo akigombea mpira na Issa Rashid kushoto na aliyeipa mgongo kamera ni Shaaban Nditi akiwa tayari kutoa msaada

    Haruna Moshi 'Boban' akitoa pasi mbele ya Said Mkopi

    Mrisho Ngassa akipambana

    Beki wa Mtibwa, Salum Sued akimdhibiti kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto

    Amri Kiemba amedondoka chini katikati, Felix Sunzu anaondoka na mpira dhidi ya Shaaban Nditi

    Salvatory Ntebe amelala kuondoa mpira miguuni mwa Chanongo


    Said Mkopi amelala kuondoa mpira miguuni mwa Kiggy Makassy

    Kikosi cha Simba leo

    Kipa wa Mtibwa, Hussein Sharrif 'Cassillas' akiokoa moja ya hatari langoni mwake

    Kikosi cha Mtibwa leo

    Mrisho Ngassa huyooo

    Salvatory Ntebe akimdhibiti Sunzu

    Kipa wa Simba, Juma Kaseja akiwa ameenda hewani kudaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Mtibwa

    Kocha wa Simba, Mfaransa Patrick Liewig akitoa maelekezo kwa kipa na Nahodha wa timu yake, Juma Kaseja

    Cassillas amedaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Mrisho Ngassa

    Cassillas amedaka hewani, huku Sunzu akiwa mawindoni chini ya ulinzi wa Ntebe

    Amir Maftah akimtoka mchezaji wa Mtibwa, Jamal Mnyate

    Ntebe na Sunzu

    Mrisho Ngassa akipambana Shaaban Nditi

    Shaaban Kisiga akigombea mpira na Shomary Kapombe

    Kisiga akimiliki mpira mbele ya Kapombe

    Shaaban Nditi akipiga mpira

    Rashid Gumbo akigeuka na mpira mbele ya Kapombe


    Ally Mohamed 'Gaucho' wa Mtibwa akikabiliana na Kiggi Makassy wa Simba

    Juma Kaseja kushoto akielekea nyavuni baada ya Mtibwa kufunga

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA TAIFA LEO, MNYAMA ALISHIKWA PABAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top