• HABARI MPYA

    Friday, March 01, 2013

    MAN CITY YATAKA BEKI LA PORTO LINALOMEZEWA MATE PIA NA MAN UNITED, BAYERN NA AC MILAN


    KLABU ya Manchester City imemuongeza katika orodha ya wachezaji inayowataka, beki wa Porto, Eliaquim Mangala mwishoni mwa msimu.
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, amekuwa akifuatiliwa na Manchester United, Bayern Munich na AC Milan katika miezi ya karibuni baada ya kuonyesha soka maridadi, ambayo iliivutia pia Arsenal.
    Porto inataka Pauni Milioni 17.5 kwa kinda huyo wa kikosi cha Ufaransa cha vijana chini ya umri wa miaka 21 na itamuuza mwishoni mwa msimu. 
    Target man: Eliaquim Mangala (right) is being monitored by Manchester City
    Eliaquim Mangala (kulia) anafuatiliwa na Manchester City


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY YATAKA BEKI LA PORTO LINALOMEZEWA MATE PIA NA MAN UNITED, BAYERN NA AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top