• HABARI MPYA

    Friday, March 22, 2013

    KUELEKEA BRAZIL 2014; SI UTANI SHUGHULI NI PEVU

    MATAIFA 203 kutoka kila kona ya Dunia yako njiani kuelekea Rio de Janeiro, kati ya mataifa hayo ni mataifa 32 tu ambayo yatafika Brazil mwakani kwenye Kombe la Dunia.

    Mataifa haya kidogo kidogo yaliingia kwenye soka la kimataifa kwenye ule mfumo wa mwenye nguvu ndiyo ataishi.
    Kuna baadhi ya Mabara tunajua mataifa gani yataenda Brazil, lakini kwingine bado ni giza tupu.
    Wakati tukielekea kwenye mwisho wa wiki ya heka heka za kufuzu, BIN ZUBEIRY tanakuletea kile ambacho kinaweza kutokea na wale wale wanaoweza kushiriki Kumbe la Dunia 2014. 

    Wish you were here? The Copacabana is calling the world's finest players as World Cup qualification reaches the business end
    Tunatamani mngekuwepo? Copacabana inawaita wachezaji bora duniani 

    ULAYA
    Washindi wa makundi tisa watafuzu moja kwa moja kushiriki michuano ya mwakani. Washindi wa pili kwenye makundi (kwa kuangalia rekodi zao dhidi ya timu ya kwanza, tatu, nne, na ya Tano kwa sababu makundi mengine yanatimu chache) watafuzu baada ya kucheza mechi za mtoano.
    Kundi A
    Kuongoza Kundi: Ubelgiji 
    Nafasi ya pili: Croatia
    Watakaokosa: Serbia, Macedonia, Wales, Scotland
    Mechi muhimu: Croatia v Ubelgiji – Zagreb, Oktoba 11
    Baada ya mechi nne kuchezwa, Ubelgiji na Croatia wanaonekana kuwa ndio vinara wa Kundi A.
    Ubelgiji wanawachezaji kibao wenye vipaji, na mchango wa Eden Hazard, Thomas Vermaelen, Vincent Kompany na wanzao imesaidia kupata ushindi dhidi ya Wales, Scotland na Serbia.

    On the charge: Chelsea's Eden Hazard on international duty for Belgium in the 1-1 draw with Croatia back in September
    Kazini: Nyota wa Chelsea, Eden Hazard akiichezea nchi yake, Croatia dhidi ya Ubelgiji, waliotoka nao sare ya 1-1 Septemba

    Croatia nao wako vizuri na mechi kati yao iliyochezwa Brussels Septemba mwaka jana ilimalizika kwa sare ya bao 1-1. Mechi ya marudiano Oktoba 11 inaonekana ndiyo itaamua mshindi wa kundi.
    Wales (wanapointi tatu) na Scotland (mbili) tayari timu hizi zinaonekana kukosa dalili za kushiriki Kombe la Dunia. Licha Gareth Bale kuwa mfungaji bora, lakini timu hiyo imepata vipigo kutoka kwa Ubelgiji na kichapo cha aibu cha mabao 6-1 kutoka kwa Serbia.

    Shout to the top: Gareth Bale scored a late winner against Scotland, but Wales are unlikely to make it to Brazil
    Sherehekea: Gareth Bale alifunga bao la ushindi dhidi ya Scotland, lakini  Wales kwenda Brazil ni ndoto

    Ushindi wa bao la Bale, ulirudisha heshima ya Wales dhidi ya Scotland Oktoba mwaka jana, lakini ushindi wao ulizimwa fasta na Croatia.
    Scotland wao wanatamani kurudi kwenye michuano hiyo kwa mara ya kwanza tangu walipofanya hivyo mwaka 1998. Lakini suluhu dhidi ya Serbia ilifuatiwa na sare ya bao 1-1 dhidi Macedonia.

    World Cup - Europe Group A
    World Cup - Europe Group B
    Kundi B
    Kuongoza kundi: Italia 
    Nafasi ya pili: Jamhuri ya Czech au Denmark
    Watakaokosa: Bulgaria, Armenia, Malta
    Mechi muhimu: Denmark v Italy – Copenhagen, Oktoba 11 – na Bulgaria v Jamhuri ya Czech – Sofia, Oktoba 15
    Italia, tayari wanapointi 10 kwenye mechi nne walizocheza, tayari wanaonekana kufuzu. Walitoka sare na Bulgaria kwenye mechi ya kwanza, lakini tangu hapo wameshinda dhidi ya Malta na Armenia, pamoja na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Denmark, iliwapa utawala.

    Character: Mario Balotelli celebrates scoring Italy's third goal against Denmark at the San Siro in October
    Muhusika: Mario Balotelli akisherekea baada ya kufunga bao la tatu la Italia dhidi ya Denmark, San Siro, Oktoba mwaka jana.

    Chini yao kuna Bulgaria, Denmark na Jamhuri ya Czech ambao wote wanawania nafasi ya kucheza mechi za mtoano, huku wakiwa na uwezekano mkubwa sana wa kupolama pointi na kumuongezea faida Italia.

    Kundi C
    Kuongoza Kundi: Ujerumani
    Nafasi ya pili: Sweden or Jamhuri ya Ireland
    Watakaokosa: Austria, Kazakhstan, Faroe Islands
    Mechi muhimu: Jamhuri ya Ireland v Sweden - Dublin, Septemba 6
    Ujerumani wameshiriki kila Kombe la Dunia tangu mwaka 1950, wanaonekana wako njiani kwenda kwenye michuano hiyo mwakani licha ya kuruhusu Sweden kuchomoa mabao manne Oktoba 2012.

    Incredible: Sweden, inspired by Zlatan Ibrahimovic, came from four goals down to get a draw with Germany in October
    Inavutia: Sweden, walihamasishwa na Zlatan Ibrahimovic, kuchomoa mabao manne dhidi ya Ujerumani Oktoba mwaka jana.

    Lakini kufuzu kwenda Brazil itakuwa siyo ngumu kwa Joachim Lowe kutokana na kikosi chake kujaa vipaji watu kama Bastian Schweinsteiger, Philipp Lahm na Mesut Ozil, itakuwa moja ya timu ambazo zitapewa nafasi ya kuchukua taji hilo.
    Six of the best: Toni Kroos scores Germany's final goal in their 6-1 win against the Republic of Ireland in Dublin
    Sita: Toni Kroos akifunga bao la Sita la Ujerumani waliposhinda 6-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland, jijini Dublin

    Sweden, watakuwa nyumbani kesho kucheza na Ireland, lakini itakuwa mechi ya Septemba mwaka ambayo itaamua nani anakamata nafasi ya pili kwenye kundi lao.

    World Cup - Europe Group C
    World Cup - Europe Group D
    Kundi D
    Kuongoza kundi: Uholanzi 
    Nafasi ya pili: Hungary au Romania
    Watakaokosa: Uturuki, Estonia, Andorra
    Mechi muhimu:  Romania v Hungary – Bucharest, Septemba 6
    Timu ambayo iko vizuri kuliko Ujerumani kwa sasa ni Uholanzi ni ambao wameshinda mechi zao zote za kufuzu wakiwa wameshinda mabao 13 katika mechi zao nne. Tofauti kati yao na wengine ineonekana kutokana na ushindi wa mabao 4-1 iliyoupata dhidi ya washindi wa pili wa kundi hilo Hungary.

    Sore one: Robin van Persie is fouled by Hungary's Roland Juhasz during Holland's 4-1 win in Budapest
    Inauma: Robin van Persie akichezewa faulo na Roland Juhasz wa Hungary, Uholanzi walishinda 4-1 jijini Budapest

    Kundi E
    Kuongoza kundi: Uswisi au Norway 
    Mshindi wa pili: Uswisi au Norway
    Watakaokosa: Albania, Iceland, Slovenia au Cyprus
    Mechi muhimu: Norway v Switzerland – Oslo, Septemba 10
    Siyo kundi lenye msisimko sana, lakini moja ya kundi ambalo linaweza kuwahakikishia nafasi Norway kushiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza tangu walipofanya hivyo mwaka 1998. Hawakuanza vizuri walifungwa 2-0 na Iceland, lakini walizinduka na sasa wanakamata nafasi ya pili.

    English links: Norway's Erik Huseklepp (right), who played for Portsmouth and Birmingham last season, celebrates with Blackburn midfielder Morten Gamst Pedersen
    Wako England: wachezaji wa Norway, Erik Huseklepp (kulia), ambaye alicheza Portsmouth na Birmingham msimu uliopita akisherekea na kiungo wa Blackburn, Morten Gamst Pedersen

    Lakini ni Uswisi ambao wanaonekana kupani kufika Brazil kwenye kundi hili, wemeshinda mechi dhidi ya Iceland na Slovenia, ambao wanaweza kutoa upinzani. Wemepoteza pointi walipopata sare ya bao 1-1 na Norway, Oktoba.

    World Cup - Europe Group E
    World Cup - Europe Group F
    Group F
    Kuongoza Kundi: Urusi 
    Mshindi wa pili: Israel au Ureno
    Watakaokosa: Northern Ireland, Azerbaijan, Luxembourg
    Mechi muhimu: Ureno v Israel – Lisbon, Oktoba 11
    Wakiwa na Cristiano Ronaldo Ureno wangeweza kuonekana kama timu bora ya kundi huku wakifunga mabao mengi lakini mambo yamekwenda mrama.
    Walipata ushindi mwembamba dhidi ya Luxembourg, kabla ya kufungwa na Urusi ambao kwenye kundi hili wanaonekana hawtaki mchezo kutokana na kushinda mechi zao zote nne za kwanza.

    Superstar: Portugal captain Cristiano Ronaldo and his team have work to do if they're to ensure their spot at the finals in Brazil
    Bonge la Nyota: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo wanakazi ya kufanya kama wanataka kushiriki Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil

    Kundi G
    Kuongoza Kundi: Bosnia au Ugiriki
    Mshindi wa Pili: Ugiriki au Slovakia
    Watakaokosa: Lithuania, Latvia, Liechtenstein
    Mechi muhimu: Bosnia v Ugiriki - Zenica, kesho
    Bosnia wakipoteza nafasi hii kufuzu kushiriki Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza basi wasahau. Wakiwa na mshambuliaji wa Manchester City, Edin Dzeko akiongoza mashambulizi, wameanza kwa kasi mechi zao za kufuzu wakifunga mabao nane dhidi ya Liechtenstein, manne dhidi ya Latvia na matatu dhidi ya Lithuania.

    Debutants: Edin Dzeko is firing Bosnia to their first World Cup finals
    Mwanzo: Edin Dzeko akiifungia Bosnia bao katika harakati zao za kusaka tiketi ya kushiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza

    Kundi H
    Kuongoza kundi: England
    Mshindi wa pili: Montenegro au Poland
    Watakaokosa: Moldova, Ukraine, San Marino
    Mechi muhimu: England v Montenegro – Wembley, Jumanne – na England v Poland – Wembley, Oktoba 15
    England wanakazi ya kufanya, katika mechi dhidi ya San Marino na Montenegro. Roy Hodgson atakuwa akitamani kukwepa kupitia kwenye mchujo katika harakati za kwenda Rio.

    World Cup - Europe Group G
    World Cup - Europe Group H
    On form: England have already beaten Brazil this year, thanks to goals from Wayne Rooney and Frank Lampard
    Kiwango: England wameshawafunga Brazil mwaka huu mabao ya Wayne Rooney na Frank Lampard

    Kundi I
    World Cup - Europe Group I

    Kuongoza Kundi: Hispania au Ufaransa
    Mshindi wa pili: Hispania au Ufaransa
    Watakaokosa: Georgia, Belarus, Finland
    Mechi muhimu: Ufaransa v Hispania – Paris, Jumanne
    Hispania na Ufaransa watakuwa na bahati mbaya kutokana na kupangwa kundi moja, huku wakiwa na timu nyingine tatu za kujipigia.
    Tangu mwanzo tulijua kwamba mechi kati yao itakuwa muhimu sana na ndiyo itaamua mshindi waa kundi hilo.
    ASIA
    Zinazoelekea kufuzu: Uzbekistan, Korea Kusini, Japan, Australia
    Zinazopewa nafasi ndogo: Iran, Qatar, Iraq, Oman, Jordan
    Mchuano mrefu wa bara la Asia kwa sasa hivi unaonekana kuanza kufunguka na timu zenye nafasi ya kufuzu zimeanza kuonekana.
    Mechi zinacheza wikiendi hii na kukamilishwa Juni. Washindi wawili wa ju kwenye kila kundi wanaenda mija kwa moja, na washindi wa tatu wanashiriki hatua ya mtoano na washindi kutoka Amerika Kusini.

    On course: Japan and Man United midfielder Shinji Kagawa are odds on to reach the finals
    Njiani: Kiungo wa Japan na Man United, Shinji Kagawa akiwa kazini

    KUNDI A

    1. Uzbekistan                         Pld 5 GD +1 Pts 8
    2. South Korea                      Pld 4 GD +5 Pts 7
    3. Iran                                      Pld 5 GD 0 Pts 7
    4. Qatar                                  Pld 5 GD -2 Pts 7
    5. Lebanon                             Pld 5 GD -4 Pts 4

    KUNDI B

    1. Japan                             Pld 5 GD +11 Pts 13
    2. Australia                              Pld 4 GD 0 Pts 5
    3. Iraq                                     Pld 5 GD -1 Pts 5
    4. Oman                                 Pld 5 GD -3 Pts 5
    5. Jordan                                Pld 5 GD -7 Pts 4
    Not this time: North Korea, who were the centre of attention in 2010, have been eliminated
    Not this time: North Korea, who were the centre of attention in 2010, have been eliminated
    Tuesday’s two fixtures – Uzbekistan v Lebanon and South Korea v Qatar – will help break the deadlock.
    In Group B, Japan are odds-on to reach a fifth successive finals with four wins and a draw so far. Australia were the side to take points off them and should emerge ahead of Iraq, Oman and Jordan given their greater pedigree. Next week, Australia host Oman and Jordan play Japan.
    AFRICA
    Vinara wa makundi: Ethiopia, Tunisia, Ivory Coast, Zambia, Congo, Nigeria, Misri, Benin, Libya, Senegal
    Utakuwa upuuzi kuanza kutabiri timu zitakazofuzu Afrika kwa sasa kwa sababu michuano yao bado iko kwenye hatua za awali kabisa, lakini tuwategemee timu miamba za bara hilo kushiriki tena.

    On our way: Nigeria, who won the Africa Cup of Nations in February, have also made a good start to their World Cup campaign
    Nigeria, mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika.
    Pack your bags: The Ivory Coast and Gervinho are well set to reach the finals
    Ivory Coast wamejipanga vya kutosha kwenda Brazil

    AMERIKA KASKAZINI NA KATI
    Mashindano ya CONCACAF yako kwenye mzunguko wanne na wamwisho timu tatu za juu zinafuzu moja kwa moja kwenda Brazil.

    More of the same: The United States held England to a 1-1 draw at the last World Cup, with Clint Dempsey, now at Tottenham, scoring (pictured)
    Clint Dempsey akishangilia baada ya kuifungia Marekani bao

    AMERIKA YA KASKAZINI

    1. Honduras                           Pld 1 GD +1 Pts 3
    2. Costa Rica                           Pld 1 GD 0 Pts 1
    3. Panama                               Pld 1 GD 0 Pts 1
    4. Jamaica                               Pld 1 GD 0 Pts 1
    5. Mexico                                 Pld 1 GD 0 Pts 1
    6. United States                      Pld 1 GD -1 Pts 0
    Mexico and the States will be the obvious favourites to qualify, both having emerged from the previous group phase as winners. Having gained a taste in South Africa 2010, Honduras will be hoping for a return ticket, while Jamaica haven’t got there since France 1998. Panama would be first-time qualifiers.
    On Friday, Honduras welcome Mexico, Jamaica play Panama and the US play Costa Rica in Colorado.  
    AMERIKA
    Wakati huu ambao Brazil hawashiriki kwenye hatua ya kufuzu ugumu kwenye michuano ya Amerika Kusini umepungua Lionel Messi na jeshi lake ndio wanakimbiza kwenye bara hilo la soka.

    Top scorer: Lionel Messi has seven goals already in Argentina's qualification campaign
    Mfungaji Bora: Lionel Messi amefunga mabao saba akiwa na Argentina

    KUNDI LA AMERIKA KUSINI

    1. Argentina                       Pld 9 GD +13 Pts 20
    2. Ecuador                           Pld 9 GD +3 Pts 17
    3. Colombia                         Pld 9 GD +8 Pts 16
    4. Venezuela                        Pld 9 GD -1 Pts 12
    5. Uruguay                           Pld 9 GD -2 Pts 12
    6. Chile                                 Pld 9 GD -4 Pts 12
    7. Bolivia                                Pld 9 GD -2 Pts 8
    8. Peru                                   Pld 9 GD -5 Pts 8
    9. Paraguay                         Pld 9 GD -10 Pts 7
    Their only slip-up to date was a 1-0 defeat in Venezuela on matchday two, but impressively they have gained wins in Chile and Columbia along the way and have been very clinical at home.
    Ecuador and Columbia are jostling beneath, while a real scrap is on the cards for the other places between Venezuela, Uruguay and Chile. Luis Suarez has been carrying his county’s hopes with seven strikes so far.
    On Friday it’s Columbia v Bolivia, Uruguay v Paraguay, Argentina v Venezuela and Peru v Chile.
    OCEANIA
    Pande za Oceania, New Zealand kama kawaida wako vizuri kushiriki tena kwenye michuano ya mwakani nchini Brazil kutokana na kutawala soka la kwenye visiwa vya huko.
    New Zealand hawakufungwa kwenye Kombe la Dunia 2010, Shane Smeltz akifunga dhidi ya Italia.

    Magic moment: New Zealand were unbeaten at the 2010 World Cup and Shane Smeltz scored against Italy

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KUELEKEA BRAZIL 2014; SI UTANI SHUGHULI NI PEVU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top