• HABARI MPYA

    Thursday, March 21, 2013

    RIDHIWANI KIKWETE APEWA UENYEKITI YANGA SC

    Mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani akizungumza na Waandishi wa Habari mchana wa leo makao makuu ya klabu ya Yanga, makutano ya mitaa ya Jangwani na Twiga baada ya kutambulishwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uendelezaji wa jengo la klabu hiyo liliopo Mtaa wa Mafia, Kariakoo, Dar es Salaam.    

    Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Mehboob Manji (kulia) akizungumza na Ridhiwani baada ya mkutano huo

    Ridhiwani akionyesha Hati ya jengo la Mafia

    Ridhiwani akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari

    Manji akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya mkutano

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: RIDHIWANI KIKWETE APEWA UENYEKITI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top