Kipa Hugo Lloris wa Tottenham Hotspur akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Donny van de Beek kuipatia bao pekee la ushindi Ajax dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Timu hizo zitarudiana Mei 8 na mshindi wa jumla atakuwa atakutana na mshindi wa jumla baina ya Barcelona na Liverpool kwenye fainali Juni 1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Raiders 'Really Do Like' Michael Penix Jr., Could Draft QB with
13th Pick
-
The hype for Michael Penix Jr. coming off the board in the top half of the
first round of the 2024 NFL draft continues to grow. Per ESPN's Matt
Miller, one…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment