Nahodha Manuel Neuer akiwa ameinua Kombe la Ujerumani na wachezaji wenzake wa Bayern Munich baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya RB Leipzig, mabao ya Robert Lewandowski dakika ya 29 na 85 na Kingsley Coman dakika ya 78 katika mchezo wa fainali usiku wa jana Uwanja wa Olympia mjini Berlin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment