Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment