Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump gets thunderous reception at Miami vs Indiana college football
championship game with Ivanka and granddaughter Kai
-
The crowd at the Hard Rock Stadium roared as Trump waved during The
Star-Spangled Banner
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment