Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saved by 'special talent' - but did penalty award wrong Brighton?
-
Charalampos Kostoulas earned Brighton a point with a stunning overhead kick
but were the Seagulls right to be angry over an earlier penalty award?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment